Hii itakuwa sawa tu kama uhamuzi wake ulikuwa ni wa hoja alizozitaja lakini kama nyuma ya pazia ni msukumo na ushawishi wa maslahi binafsi,madaraka,fedha bac hoja zake itakuwa ni gheresha
Mmk sidhani kama unafanya research kabla ya kuandika unajua Revenue ya Mwaka ya Acacia? How can they afford to pay 60bill$ wakati Revenue yao kwa mwaka ni one billion!It will take them 60yrs to pay that bila wao kuchukua chochote. ..is that feasible?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa degree tatu unamtetea mbulura alozungusha form four...yaani darasa la saba...hutakaa kamwe uzungumzie issue ya elimu cause itamgusa...Bashite moja kwa moja
Mtu mkosefu WA akili unaweza amini anayoyasema hayo.watu waliomzunguka nje na ndani ya serikali wanauza unga..lazima aseme kujitutumua kama Kingunge alivyo sema ilhali mwanae ni muuzaji mkuu
Wew unasifia mijizi inayoiba fedha za walipa kodi ambayo ingesaidia baba mamako.unaona fisadi1 mjanja kutumia mgongo WA ikulu kujitajirisha...ulimbukeni mzigo!
du maskini jamaa nafahamu nimesoma naye Rubya Seminary miaka ya themanini alikuwa very smart and then akaja UD na kuwa president wa DARUSO the guy was so smart
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.