Nimepokea message muda si mrefu kwamba wakili maarufu nchini aliyekuwa pia mshabiki wa yanga ndg ruttashoborwa amefariki dunia leo katika hosp ya agha khan dar es salaam. Sababu za kifo bado hazijulikani. Msemaji wa yanga amethibitisha habari hizi. wakati wa uhai wake marehemu ameifanyia yanga mambo mengi ikiwemo michango ya hali na mali. marehemu alikuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya yanga. R.I.P RUTA