Huwezi kumpangia mungu eti kwa sababu afanye ww unavyotaka ambazo ww unaziita contradictions ili adhibitike kuwa yupo.
Mungu ana plan zake, mawazo yake si kama yako/wanadamu.
Pia kuendelea kuamini kuwa hayupo, hakutokumfanya asiwepo kweli,, kwanza watu kama nyie ambao hamna imani mungu...