Recent content by festusfl

  1. F

    Polepole: Nipo Namibia, kila mtu anamuulizia Magufuli

    Huwezi jua nyumba nzr bila kuishi ndani
  2. F

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

    ongera mama .nimependa uhu uteuzi 100%
  3. F

    Profesa Lipumba: Namsubiri Maalim Seif aje ofisini nimpangie majukumu yake

    Swal:?kama alitofautiana kwenye katiba toka mwanzoni iweje arudi tena ?? For me kama umerudi inabidi afwate utaratibu uliopo
  4. F

    Rais Magufuli amteua Prof. Kitila A. Mkumbo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji

    Mikopo inamashart sna.ihi nafikiri kamchagua coz ihi mikopo ama misaada kutoka nje inakua na mashart nimewaza nje ya box
  5. F

    Mada Star TV: Mitandao ya kijamii ifungwe?

    Leo magazeti yote habari ya mjini makonda na jpm kasoro gazeti la serikali
  6. F

    Tundu Lissu ashinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata 88% ya kura

    Nauliza Mwakyembe yupo ? Aliemwona atujulishe
  7. F

    Fake News: Watangazaji 9 wa TBC waliotangaza Trump amsifia rais Magufuli, Wasimamishwa kazi

    Tbc jipu.hapa nikiwa naangalia taharifa ya sa 20:00.kuna taharifa ya tandale -sinza kuna mitaro imejaa ikasababisha maji kuingia majumbani.mkazi mmoja ambae ni kijana wabodaboda alie vaa koti la blue ivi.eti kwnye mchirizi wakaandika mhitibu badala ya mkazi wa sinza .nimebaki naduaa tu
  8. F

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    I say hpy birthday on march 3 which occurred previous date
  9. F

    Asenga DAS wa Rombo awanasa wauza gongo/bangi live Rombo

    Aseme vizur ama ni kwa mashimo nn kama sio hapo mlimani
  10. F

    Redio kujadili mubashara mambo ya Hedhi na Pedi ndiyo maadili ya Kitanzania?

    Uhu mfumo wa kidigitali una mambo mengi.mpka kuna tangazo kwnye redio ambalo la kuchangia peds cjui wamekosa ela ya kununua iyo
Back
Top Bottom