Recent content by festo daudi

  1. festo daudi

    Je, unajua maana halisi ya Electoral College inayotumika kuchagua Rais Marekani? Jifunze

    Hongere sana kaka binafsi nimekuelewa sana na nimegundua sikuwa mbali sana na ulichikieleza na namna nilivyosoma google.
  2. festo daudi

    Mamlaka ya Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri wa Muungano

    Watu wengi Hawana uwezo wa juu wa kuhimili hoja za wengine. Matusi na vijembe havisaidii! Toeni fact na wengine wapate kujifunza mbona wengine mnapwaya!
  3. festo daudi

    Mamlaka ya Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri wa Muungano

    Jadili maada usiwe na kiherehere kama bao la kwanza. Toa hoja na fact!
  4. festo daudi

    Mamlaka ya Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri wa Muungano

    Nimependa maada yako ila nasikitika upande wa pili hatuna hoja zaidi ya matusi> Binafsi nimejifunza kitu hapa kwamba wengi wasio na hoja ya msingi hujikita kwenye matusi
  5. festo daudi

    Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

    Jaribu kuchambua maada yako kwa kina! Hatua zipi kenya ilizochukua? Then Toa sababu za msingi za serikali kutoa tamko juu ya Rose migiro.
  6. festo daudi

    Ujumbe wa Rais Magufuli kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa

    Hongera Raisi wetu. Chapa kazi Waugwana tunakuelewa sana!
  7. festo daudi

    Juma Nature:Singeli ni muziki wa kihuni.

    Binafi siupendi na nikisikia unapigwa redioni huwa naswit oof radio.
  8. festo daudi

    JAMANI HALMASHAURI YA MUHEZA IMEIBIA WATUMISHI

    Da! mie ndo nimechoka hata sina hamu kwa kweli!
Back
Top Bottom