Jamani ndugu zangu wapendwa katika bwana leo naombeni tulizungumzie hili swala la kumsifia mwanamke (mpenzi wako) hasa katika upande wa uzuri wake kwa sura.
Mimi binafsi mara nyingi huwa sipendi kumsifia na kumwambia kama yeye ni mzuri. Kumsifia ninako maanisha mimi kumwambia yeye ila sio...
Ndugu wapendwa katika bwana,
Ila nina ombi moja kwenu naomba msaa wa kimawazo kwamba hivi nini kinacho sababisha mtu[ mwanamke] anaficha baadhi ya mambo yanayo husu ukweli wamaisha yake.
Kwamfano; mtu alimaliza kidato channe akafeli alafu akaanza tena upya kidato cha kwanza labda unamkuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.