Recent content by Ferguson united

  1. Ferguson united

    Habari zilizotrend kwa mwaka 2024

    Rodry kushinda tuzo ya Ballon dor ni kitu Cha ajabu sana na Ile issue ya kuporomoka gorofa karikoo na Mimi ni mzee wa under ground to under ground nikiwa kkoo
  2. Ferguson united

    Hili jambo limenishtua kidogo. Itakuwa ni nini?

    Wewe hunatofauti na wale ambazo wanawekewaga hucking hide app kweny simu zao na wapenzi wao kila wanachofanya kinakua kinajurikana
  3. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Uyu Chelsea ndio bigwa wa EPl msimu huu
  4. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nyuma wanavuja balaaa Sancho anakosaje Goli la wazi ivi
  5. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Son anakosaje Goli la wazi ivi
  6. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    inaonekana spurs umeaza kuwangilia Jana Moja kati ya tatizo kubwa alinalo spurs msimu huu ni kuruhusu sana magoli na hii inatokana na style ya mpira wao wanaopenda kucheza spurs akiamua kuja kukushambulia anakuja mzima mzima ndio maana unakuta hata beki Yao kama van de veen na Pedro polo...
  7. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Spurs wajanja sana Kuna mda wanarudi nyuma wote afu Kuna mda wanaifungua game kweli kweli
  8. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    We jiandae tu kiakili hii game ipo open sana mnaweza mkafa Goli nyingi au mkashinda vile vile ila beki zako zinafanya sana makosa ya kitoto sana pia ata spurs nyuma wanavuja ovyo
  9. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kocha wa Chelsea msenge we unamchezeshaje caicedo kama full beki na unajua spurs kati Wana sarr,bissuma na uyu dogo muitaliano udogie Yuko anaenda kushambulia kwenye eneo la kati Hilo Hilo caicedo inabidi aingie kati lavia atachoka mapema sana leo
  10. Ferguson united

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Shauri Ako Spurs nyuma panavuja sana Goli zote zinarudi hizi
  11. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Namtaka mchezaji wangu Sancho haiwezekani afunge Gori tamu kiasi hichi
  12. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Chelsea hii game anashinda vizuri tu
  13. Ferguson united

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Watachomoa tu spurs ni kizungumkuti japo nafahamu Toka enzi za kina Micheal Dawson Chelsea alikua anasafa sana kumfunga spurs
  14. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Solanke kashawafweka
  15. Ferguson united

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwa huu mziki wa Chelsea sio rahisi spurs game za nyumbani zinamsumbua sana
Back
Top Bottom