Nakumbuka siku wanazindua Dira ya Taifa, Rostam alilalamika sana juu ya miradi, tenda na uwekezaji mkubwa kupewa wageni badala ya wazawa ambao mitaji na fedha zinabaki nchini.
Akasema Wawekezaji kutoka nje fedha zote na mitaji zinaenda nje.
Nakumbuka watu humu humu jamii forum walimsifu sana...
Kuna makala mpya imewekwa humu kuwa wote wanaowalaumu au kuwasakizia wenzao wapiganie haki zao wakati wenyewe wamo humu kwa ID fake niii..... hao tunaowasema wapo humu kwa majina halisi na walishapitia mambo magumu kutokana na kujifanya watetezi wetu.
Je walipoingia kwenye shida tuliwasaidia...
Umegusa hisia zangu, nami nimeumia muda mrefu, juzi nilikuwa safarini nilikereka sana nikasema Lazima niende LATRA nikaongee nao kwamba wanahusika au hawahusiki maana ndio wanaotoa leseni na kusimamia usalama wa abiria.
Ila mheshimiwa mchambuzi mbona umebadiri kabisa maudhui ya hii mada, urutubishaji wa nini ya Nyuklia si vema kupotosha kwa kujua au kutojua.
Ni urutubishaji wa nishati au madini ya uranium na sio Mabomu ya Nyuklia.
Eti my friend unawezaje kurutubisha mabomu ya Nyuklia ili kitokee nini?
Iran...
Sikupingi hata kidogo maana umetumia akili nyingi na muda ila nimejibu kwa ufupi tuu maana zipo tafiti nyingi za hao hao western wakielezea hizo postive effects baada ya vikwazo. Mfano eneo la technojia fuatilia kupitia ROSTEC wametengeneza na kugundua technolojia ngapi mbadala. Mf. Tuu ni...
Huuuc uchambuzi ni according to west centric na haujabalance wala kufanya utafiti. Vikwazo vilileta atahari kubwa hasi ambazo ziligeuka kuwa positive effect kwente sekta nyingi.
Ninyi ni waninga sana yaani mnakubaliana tuu kuwa mtakuwa mnatuma laki nyumbani bila sababu!? Vipato vyenu Vinafana, tuma endapo kuna dharura au ugonjwa tuu mwisho sio kila mwezi. Gombana na hao ndugu zako ndipo utaendelea. Watu ni wakongwe kazini lakini hatuna huo utaratibu wa kutuma kila mwezi...
Kasome tafsiri asili ya kigiriki ambayo ndiyo origin ya Agano jipya utajua hiyo Divai iliyobora ni ipi. Kigiriki ni Oivoc au Oinos maana yake alkoholic, na maandiko ya kigiriki yanatamka wazi kuwa waliishiwa oivoc au oinos na si ole oivoc ambayo ndio juice. Juice sio divai au wine. Juice ni...
Ungeandika pia Mkapa aliua Taasisi ngapi? Zaidi ya 300 kwa kisingizio cha ubinafsishaji. Kumbuka Kikwete alivyopata kazi ngumu sana kipindi chake mwanzoni kuanza kuzirudisha na kuzifufua kwa gharama kubwa. Mf. Reli, Bima, Viwanja vya ndege, mabenki, tanesco, atc etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.