Nina mdogo wangu amesoma masomo ya Arts amepata D 2 ya HISTORY na GEOGRAPHY pamoja na C ya KISWAHILI masomo mengine yote kapata F..Je anaweza kupata chuo huko Zanzibar?
Nina mdogo wangu yupo zanzibar amepata matokeo ya Form four :
HISTORY D
Geography D
KISWAHILI C
Anaweza akapata chuo zanzibar?
Chuo gani?
Course gani anaweza kusoma?
Habar zenu wana JF. Hope wote wazima.
Naombeni ushauri wa biashara nitakayoifanya mazingira ya chuo yenye kupata faida ukiachana na biashara ya kula na kuvaa. Frame ninayo ambayo ni kubwa 2 nimeanza na uwakala.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.