Vijana wa Kujitolea
Kundi hili linahusisha Vijana wote waliosailiwa mwezi Mei na Juni mwaka 2016 katika ngazi za wilaya na mkoa na kuchaguliwa kujiunga na mafunzo ya JKT.
Vijana hao wa Mujibu wa Sheria na Kujitolea wanatakiwa kuripoti katika makambi ya JKT waliyopangiwa wakiwa na vifaa...
unapotosha umma ndugu hapo juu,hilo tangazo liko wazi tuu mbona...kwa ambao wamemaliza form six ni wale tuu ambao hawakufanya mafunzo awali na pia hawajaenda vyuoni(bila kujua sababu zilizomfanya asiende chuo,) na wanaenda kufanya mafunzo kwa mujibu wa sheria(mkataba wa miez 3) rejea kumbukumbu...
Hilo Tangazo linachanganya kwa kiasi fulani hivi,labda pengine tusubirie website ya J.K.T itakapotoa huo muongozo maana haitaji kua hao form 6 ni wale ambao hawakufanya mafunzo au ni wale waliofanya mafunzo awali na huko J.K.T wanaenda kujitolea au kwa mujibu,nawasilisasha.
Hili la Lameck siyo jina la kinyiramba ni jina la daktari aliyenipokea zahanati ya Iliyopo kijiji cha Mukulu, daktari tunaita hivyo lakini ni Nesi ndiye aliyekuwa anaitwa Mwigulu na jina la kizungu Lameck
Daah,inamaana huyu daktari alikua anaitwa lameck ila kwa kilugha mwigulu?yaani mwigulu na...
Jamani wa ndugu ni hivi, kwa jinsi ya vigezo walivyotoa mwaka huu kwanza lazima uwe umefaulu, unaenda kusoma kozi gani, ulichukua masomo gani o level na advanced level wao wanataka science subject na pia unaenda kusoma kozi gani chuo. Wameonyesha kozi ambazo watanufaika almost ni (science),na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.