Ila nakushauri usimkaripie onyesha upendo hata kama wakinafik....wakat anatoka jarib kupeleksha mtu alokua hamjui amfate nyuma wakat nawe ujiwa unachat na huyo mpelelez wako kwa kila anapokwenda anakutaarif nawe ukiwa unasogea....
Utamfuma tu wap anaenda na anafanya nn.
Ukishajua ukweli ndo...
Nafkir tukiwa na good planing ama tukae tufikirie mbinu mbadala or plan B....
Naamin saraf ya nchi yetu itarud na kuwa na thaman kama nchi nyengine ama kuliko....
Ila nashaur Dr...Maguful aendelee kuumiza kichwa afichue wapi hajatumbuaaa.......
Akifanikiwa hasa kutoa majipu yote...
Hiv inch jiran wana rasilimali zip zaid ya kuwashinda Tz.....ni kwa sababu zipi hasa tukawa nyuma kwa kila kitu kama mikia....yaan inaumiza kichwa kwakweli....yaan tuangalie tu...
Mnajua kua planing is a source of the successfull.
Without good planing in any issue or program u want to do never...
Yaaa hii sio kuporomoka tu..
Kuna siku itaanguka kabisaaa...
Us $ 1= Tsh laki 1 ( 100,000) hapo to wale walo na macho watapoambiwa tazama na wasione pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.