ngumu sana kujibu hili swali..wakati kijana wa kitanzania wa miaka 26-30 amemaliza chuo anahangaika kutafuta ajira au kujiajiri, wenzetu wa nje wanaocheza mpira wanajiandaa kustaafu huku akaunti zimenona
Tabia utazikuta huko huko.. Kuna baa maarufu.. Moja ni Giraffe, nyingine Sangamela na ya tatu inaitwa Ikweta na Tale. Ukianzia hapo Graffe ambapo ndo kiota kikuu kwa sasa utashangaa wahudumu sometimes ni wengi kuliko wateja.. naposema ni wengi ni wengi hasa.. Pamoja na ile baridi kali wahudumu...
Miaka 27 bado unaweka checklist ndefu hivyo? ngoja nisubiri miaka mitatu ijayo ukileta tena tangazo hapa kama k=vigezo vitakuwa hivyo hivyo au vitapungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.