Mkuu sms imeugusa moyo wangu sana nami niliondokewa na baba yangu ghafla wiki tatu sasa kupoteza mzazi kunauma sana kila nikikaa natamani hata angeumwa nimuuguze walau au nimuone akikata roho walau angeongea neno la mwisho lkn haikuwa hivyo just emergen simu ya baba yako inaita unajua yeye ndo...
Hii dhana haipo dar peke yake hata arusha nalo ni tatizo hawa wakuu waliitikia wito wa rais bila kujipanga haiwezekan wananchi tumefanya usafi tokea tarehe 09-12 hadi leo uchafu ulipokusanywa upo wala hawaba dalili za kuutoa tumekusanya mafungu ya uchafu ili kuhararisha mlipuko wa kupindupindu...
Nadhani huu sio wakati muafaka wa CCM NA UVCCM kukaa na kuanza kumuongelea LOWASA mnampa publicity bila nyie kujijua au ndo lile kundi lililohaidi kumsapot mkiwa ndani ya chama ?
Crdb ni janga kubwa sana hasa branch zenu hizo nilizozitaja haiwezekani mfanyakazi wa serikali niombe mkopo tena nimetimiza masharti yenu yote lkn hadi sasa ni miezi saba nikifuatilia mnanipa majibu ya ovyo mara nyie mahenge hamna uwezo wa kukopesha sasa mpo hapo mnafanya nn? Mkaniambia niende...
Foxyizafa nadhani mleta mada kaandika kutokana na upeo wake ulipoishia kwenye hii mada ...sasa ww kama unauelewa mkubwa zaidi ilibidi uongezee au uandike jinsi ujuavyo ww kuliko kumkosoa mtu bila kuelezea ukweli wako ..inaonekana hii mada kama imekugusa umejibu kwa jazba sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.