faya
Member
- May 16, 2015
- 30
- 13
Hii dhana haipo dar peke yake hata arusha nalo ni tatizo hawa wakuu waliitikia wito wa rais bila kujipanga haiwezekan wananchi tumefanya usafi tokea tarehe 09-12 hadi leo uchafu ulipokusanywa upo wala hawaba dalili za kuutoa tumekusanya mafungu ya uchafu ili kuhararisha mlipuko wa kupindupindu? Jiji la arusha angalien hili