Sidhani kama hata shule ya msingi uliwahi kusoma, napata mashaka na uelewa wako! Wewe ndio wale hata ukiambiwa mkeo/demu wako yupo kona na sharobaro utapinga badala ya kwenda kuhakiki maneno ya wanao kutakia mema, shwaini wewe mxiuuuwwweee
Hapa kwangu (eneo la kazi) magomeni mtaa wa ndugumbi karibu na msikitini jirani na kituo cha Tanesco magomeni umeme umekatika ghafla dukani tu huku nyumba ilipo duka hili umeme ukiwaka kama kawaida na maeneo mengine tangu saa 11 mpk leo hii umeme sina, nimekuja kutoa taarifa na kupewa kimemo...
Naomba kujua hatma ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam maana hii hali ya kupata taarifa mpya kuhusiana na yeye kila siku zinaanza kuleta mtafaruku kiasi watu wanashindwa kujadili Mambo mengine ya kimaendeleo na kushabikia jambo moja takribani mwezi sasa!
1.Naomba kujua kama wapo waliofukuzwa...
Unaonekana we ni MCCM wa hali ya juu, huna mashiko ya kunishawishi juu ya hilo na ingekua mm ni mmoja wa wapigaji kura wala nisingewekea maanani mawazo yako finyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.