wataalamu naomba tueleweshane hili...
kwanin ardhi iliyo chini ya rais umiliki wake uwe Wa mkataba kwa miaka kadhaa?
na nan atamiliki hyo ardhi baada ya mkataba?
na uwekezaj uliomo je inakuaj?
tueleweshane tafazar
unajua kwa nin mungu anaitwa simba Wa yuda wala sio Wa nyikani? ni kuonesha tu utofaut wake na hao cmba wengine uwajuao
yaani yeye ndie pekee alie kwa yote... ndie pekee ambaye hapangiwi na MTU kwani hakuchaguliwa na yyt
mungu huadhibu kwa namma yeyt na popote pale iwe u mauti au bado ungali...
hoja yako haija simama haionesh uhusiano kati ya kauli yake ya kuingia chuo kupitia fomu 6 na waislamu kumtuhumu ndalichako... fafsnua kwa kina ueleweke usilete mada za udin za zaman kwenye mada za maendeleo..... kuna chembe gani ya udini kati ya university cut point na kufeli kwa waislamu?
usisubutu kuituma hela wala kuwaamin hai jamaa.. huwa nilikua najifanya nawajua matapeli na kuwakwepa lakin kwa hai jamaa nimeliwa 13000 + nauli wilayani to mkiani 10000 x2 + chakula + kulala yaan nnamahasira nao mbaya... ukitaka kuthibitisha wapigie namba zao hzo uone kama utapokelewa na Daima...
kwa mantiki yako kiongoz,
1.awe tajiri
2. awe na historia ya uongoz
3.awe anatoka mjini
nakubaliana nawe labda kwa point ya pili nayo kwa 30% maana c kweli kiongoz bora lazma awe na uzoef huo na cjui nyerere unamchukulia kundi gan na kama no kiongoz bora kwan alikuwa na hstoria gan ya uongoz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.