Inategemea na mazingira.
Kwa siku za hivi karibuni asubuhi nakula chakula Cha nguvu, mchana nakula wastani, usiku naweza nikanywa Juice fulani hivi tu au chai na nikalala safi.
Hii Kwa siku za zamani sikuweza, ilikuwa lazima usiku Nile kama nataka kuhama 🤣
Nakubaliana na wewe!
Baba yetu mkubwa aliwahi kuwa na kichaa, anatembea uchi huku anaokota hiki na kile.
Wanaumwa kama sisi tu niliona mara kadhaa baba mkubwa anaumwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.