Naanza kuamini, kama mechi za mpira wa miguu zingekuwa zinamalizika dakika ya 85, Afrika ingekuwa imefanikiwa sana kwenye kombe hili la Dunia, na mashabiki wetu wasingekuwa na presha ya kupanda kila kukicha. Lakini kwa bahati mbaya, FIFA wana dakika zote 90 na hicho kipindi cha lala salama ndipo...
Wakuu, ni wazi kabisa kwamba mchakato wa kusuka Katiba Mpya barani Afrika sio lelemama hata kidogo. Tukio la jana, Juni 29, 2026, kwenye Bunge la Senegal limebainisha wazi kuwa safari hii sio lelemama, yaaani bunge liligeuka uskiku wa vitasa! Kushikana mashati, kusukumana, na kurushiana maneno...
Hizo ni reporting Bias... utafiti wa DW juu ya wahanga wa unyanyasaji wa kingono unaonesha, katika kila wahanga 10 wa 4 wataripoti polisi ikiwa wamefanyiwa unyanyasaji na mhamiaji lakini chini ya wa 2 ndio huripoti kama unyanyasaji umefanywa na mzawa
Ukiangalia picha iliyo hapo chini, utaona mstari mwekundu uliokatishwa ukimtenga Tunisia chini kabisa akiwa na alama 0 na idadi ya mabao -10 huko kwenye mashindano ya kombe la Dunia.
Ki-soka, unaweza kudhani hili ni janga. Lakini ki-uhalisia, na kwa mtazamo wa Kipan-Africanism na siasa za...
Wana-jamvi, mambo si shwari hata kidogo kwenye kambi ya timu ya taifa ya Senegal ("Teranga Lions") inayoshiriki Kombe la Dunia 2026 nchini Marekani. Pamoja na sifa zote na ukweli kwamba walitwaa Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (AFCON), ripoti za ndani zinaleta taswira ya kusikitisha kuhusu uongozi...
Kama umekuwa ukipitia mitandao ya kijamii hivi karibuni, bila shaka umekutana na picha za mabadiliko mapya ya jiji la Vancouver. Muonekano wa jiji hilo umechochewa rasmi na joto la kukaribisha Kombe la Dunia 2026, na safari hii wameamua kuonyesha ubunifu mkubwa sana katika majengo ya jiji hilo...
Wakati Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar aliposimama mbele ya Bunge mjini Dodoma leo tarehe 11 Juni 2026, hakuwa anawasilisha tu mchanganuo wa hesabu za mapato na matumizi; alikuwa anawasirisha mchoro wa kujitenga kabisa kwenye mifumo ya utegemezi wa kiuchumi, bila ya shaka bajeti...
When the Bank of Tanzania quietly launched its Electronic Matching System for the Interbank Foreign Exchange Market this week, everyone was talking about it. What they said was not that important. What is important is what it really means: a change in how Tanzania's financial system gets foreign...
Kuna mabadiliko makubwa kwenye sera za Marekani kuhusu utoaji wa visa barani Afrika. Marekani imepunguza idadi ya balozi na ofisi za ubalozi zinazoshughulikia maombi ya visa kutoka 50 hadi 20 pekee. Hatua hii inatajwa kuathiri safari na mahusiano ya kidiplomasia kwa nchi nyingi.
Kwa mujibu wa...
Wakuu leo nimeona huo Mjadala wa nchi kumi zenye bei kubwa zaidi ya mafuta umeibua hoja nyingi, lakini jambo moja lililokosekana ni ulinganisho wa mzigo halisi kwa wananchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Nimekutana na Takwimu mpya za Mei 2026 zinaonyesha kila nchi inatoboka tofauti kulingana na...
Wakuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeomba jumla ya Shilingi za Kitanzania Trilioni 2.4 kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2026/27. Hii ni moja ya bajeti kubwa zaidi kati ya wizara zote nchini. Tutegemee nini?
Fedha Zitatumikaje?
Bajeti imegawanywa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.