Bless their revolutionary little hearts! Kenya's Gen Z youth are now preparing for the ultimate "silent revolution", this time from the comfort of the ballot box instead of the streets.
After the fiery "Gen Z uprising" of 2024 that shook the regime to its core, these brave young souls have...
Oh, what a glorious day for democracy in Cameroon!
The deal is finally done, folks! At the tender young age of 93, President Paul Biya can now peacefully appoint his own hand-picked successor, just in case he finally decides to die, resign, or, you know... become too "incapacitated" to cling to...
Hii ni kwenye mahojiano na Waandishi siku ya jana ambapo Rais Donald Trump alikiri kuwa changamoto ya kuishughulikia Iran sio rahisi kama wengi wanavyodhani kwani yupo kwenye hali inayomfanya ashindane na watu anaodai;
Trump analejerea ugumu wa vita ya Iran kwa hapo ilipofikia. Ni wazi Rais...
Suala Iran linaonekana limeanza kuwa gumu kwa Marekani, Trump leo ametema Nyongo na kuzishutumu baadhi ya nchi kutokuwa na shauku za kuisaidia Marekani kutatua changamoto ya mfereji wa Hormuz, licha ya kuwa nchi hizo zilikuwa zinaitegemea Marekani kiulinzi kwa zaidi ya miaka 40.
Trump anadai...
Kama kuna suala ambalo limekuwa likikua kwa kasi lakini bado hatujaliwekea umakini ni: kuenea kwa teknolojia ya ufuatiliaji watu (mass surveillance) barani Afrika. Ripoti ya hivi karibuni kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Maendeleo (IDS) imefichua kuwa nchi 11 za Afrika zimetumia zaidi ya Dola...
Nimekutana hii list huko mitanaoni ikijadili ongezeko la Mabinti wa marais wa Afrika kushika nafasi za juu za kiserikali au kidiplomasia. Huu mjadala pia umewekwa na TRT Afrika ukinaonyesha orodha za mabinti wa maraisi ambao wnashika nafasi nyeti kwenye utawala wa wazazi wao.
Orodha imekuwa na...
Yani... Njaa imefanya tunaandikwa vibaya huko mitandaoni.... Hizi ni fursa ambazo tunapaswa kusemwa vizuri na sihivi tulivyosemwa... Tumelia hapa kutaka yule jamaa wa Mambio kuja bongo alafu nyuma ya Pazia tunasumbua watu wanaofanya makala ambazo tungeweza kuzitumia kujitangaza vizuri kwenye...
Kuna mfululizo wa dokumentari nilikuwa naufuatilia unaoonyesha safari ya timu ya Recharging Hope. Hawa ni vijana wabunifu, wanaosafiri kwa pikipiki zinazotumia umeme wa jua (Solar-powered electric motorcycles) kutoka Nairobi kuelekea Cape Town. Lengo lao ni kuonyesha kuwa teknolojia za kijani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.