Recent content by Fascinating

  1. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Wapi zitaenda Trilioni zilizoombwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia — 2026/27? Kuna chochote cha kutarajia?

    Wakuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeomba jumla ya Shilingi za Kitanzania Trilioni 2.4 kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake kwa mwaka wa fedha 2026/27. Hii ni moja ya bajeti kubwa zaidi kati ya wizara zote nchini. Tutegemee nini? Fedha Zitatumikaje? Bajeti imegawanywa katika...
  2. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Naomba usaidizi: Uume hausimami

    🌚
  3. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Mradi wa MVICs, ni Usalama barabarani au Serikali Imepata chanzo Kipya cha Mapato?

    Ndugu wamiliki wa magari, pikipiki, na vyombo vyote vya moto, Utawala umewarudia tena, baada ya kuwapa ile tozo ya kuchangia dawa za kufubaza VVU na zingine nyingi kwenye mafuta, bado wanadhani mnavibunda vya kutosha na kuthibitisha hilo, Aprili 30, 2026, serikali kupitia PPPC na Jeshi la Polisi...
  4. Fascinating

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 75% of the Population, 6% of the Seats, Kenyan Gen Z’s Brave Plan to Fix It With Voter Cards

    I started to see career changers want to ditch activism's briefcase for an elected seat. What a time to be alive!😂
  5. Fascinating

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 75% of the Population, 6% of the Seats, Kenyan Gen Z’s Brave Plan to Fix It With Voter Cards

    Bless their revolutionary little hearts! Kenya's Gen Z youth are now preparing for the ultimate "silent revolution", this time from the comfort of the ballot box instead of the streets. After the fiery "Gen Z uprising" of 2024 that shook the regime to its core, these brave young souls have...
  6. Fascinating

    JamiiForums Tanzania The Deal Is Done: Cameroon’s 44-Year Dictatorship Just Installed a Spare Tire

    Oh, what a glorious day for democracy in Cameroon! The deal is finally done, folks! At the tender young age of 93, President Paul Biya can now peacefully appoint his own hand-picked successor, just in case he finally decides to die, resign, or, you know... become too "incapacitated" to cling to...
  7. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

    Maswali ni mengi.... ila linalonipa sonona ni hili la wajomba wamegushi vibali vya silaa kwa matumizi yapi?
  8. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Trump akiri kuwa suala la Iran limeshakuwa 'Pasua Kichwa'

    Hii ni kwenye mahojiano na Waandishi siku ya jana ambapo Rais Donald Trump alikiri kuwa changamoto ya kuishughulikia Iran sio rahisi kama wengi wanavyodhani kwani yupo kwenye hali inayomfanya ashindane na watu anaodai; Trump analejerea ugumu wa vita ya Iran kwa hapo ilipofikia. Ni wazi Rais...
  9. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Suala la Iran limeshakuwa gumu? Trump anadai kuna nchi hazina shauku ya kuisadia Marekani

    Suala Iran linaonekana limeanza kuwa gumu kwa Marekani, Trump leo ametema Nyongo na kuzishutumu baadhi ya nchi kutokuwa na shauku za kuisaidia Marekani kutatua changamoto ya mfereji wa Hormuz, licha ya kuwa nchi hizo zilikuwa zinaitegemea Marekani kiulinzi kwa zaidi ya miaka 40. Trump anadai...
  10. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha Jinsi Njaa na Tamaa Zinavyochafua Taifa: "Recharging Hope" Wameanika Mizengwe ya Rushwa waliyoikuta Tanzania

    Hapana nimefuatilia ni Tanzania.... Ni Kijiji kipo Mbarali, Mbeya
  11. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Je, ni suala la Usalama au Udhibiti? Ongezeko la Matumizi ya Teknolojia za kijasusi kufuatilia wananchi Barani Afrika

    Kama kuna suala ambalo limekuwa likikua kwa kasi lakini bado hatujaliwekea umakini ni: kuenea kwa teknolojia ya ufuatiliaji watu (mass surveillance) barani Afrika. Ripoti ya hivi karibuni kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Maendeleo (IDS) imefichua kuwa nchi 11 za Afrika zimetumia zaidi ya Dola...
  12. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Watoto wa Marais Afrika: Je, ni Vipaji Binafsi au ni ‘Mbeleko’ ya Madaraka?

    Nimekutana hii list huko mitanaoni ikijadili ongezeko la Mabinti wa marais wa Afrika kushika nafasi za juu za kiserikali au kidiplomasia. Huu mjadala pia umewekwa na TRT Afrika ukinaonyesha orodha za mabinti wa maraisi ambao wnashika nafasi nyeti kwenye utawala wa wazazi wao. Orodha imekuwa na...
Back
Top Bottom