Ndugu wamiliki wa magari, pikipiki, na vyombo vyote vya moto, Utawala umewarudia tena, baada ya kuwapa ile tozo ya kuchangia dawa za kufubaza VVU na zingine nyingi kwenye mafuta, bado wanadhani mnavibunda vya kutosha na kuthibitisha hilo, Aprili 30, 2026, serikali kupitia PPPC na Jeshi la Polisi...