Huyu mama Gwajma asiguswe kabisa wakubwa mama namkubali sana, na katika mawaziri ambao wanafanya kazi zao ipasavyo huyu mama yupo. Nambie ni waziri yupo kaweka mawasiliano yake public (namba ya simu) ila yeye kaweka ili kuifikiana vizuri na wananchi. Kongole Dkt. Gwajima D Gwajima
Nimejikuta natabasam kumbe watu wenye vichwa vilivyojaa fikra yakinifu Bado tupo wengi, hongera kwako FaizaFoxy na Yule kaka aliyekuwa anatema madini ya miaka hyo akitujuza juu ya bibi yetu Deborah n.k
Itapendeza Kama ukiweka bei nzuri zaidi kwasabab huku Mchele mzuri ni hyo hyo 2000 ambayo unautoa hapo dukan kwa mangi unauweka jikon sio ule wa kuufata ubungo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.