Mitano mingi, mmoja tu unatosha! Nadhan mshaufaham...
Ule ambao una matukio mengi afu wakaz wake wanaongea sana hawafanyi kaz wanaishia kutafta Kiki.! Waliomo ndan wakitaka wahamie ule mkoa ambao wanaambiwa kuhamia hawatak!... Wasiotaka kuhamia tunawauza na wao tubak na nchi ytu
Sijataja mkoa...
KUONDOKA NA MPIRA UMWANJANI UKIWA UMETENGWA INASUBILIWA PENARTY IPIGWE...
Ilikuwa secondary tukiwa tunacheza mpira na form Six, ilikuwa ligi ya shule ila shule ilikuwa haina mipira ya kutosha. mmoja ukawa umetoboka na ndo ulikuwa ukitumika. Nakumbka mimi nlikuwa nina mpira nlotoka nao nyumban...
Mawazo pevu yapi, ungekuwa na nia ya kuwasaidia ungeyaweka hayo mawazo kama uzi wako ulivoanza lkn badala yake inaonekana waz kuwa ww ndo unayahitaji hayo mawazo. Kuwa muwazi omba ushaur maana inaelekea ww pia umo kweny hlo kund
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.