Pole sana bro, familia ni mume, ukisema big No hakuna wa kupinga, mueleze kistaarabu kuwa hao marafiki ndo wanaweza kuvunja hiyo familia asipoangalia. Mkeo kama anachukulia poa, ongea direct na rafiki ake/zake waambie hapo sio kituo cha kupokea wenye matatizo wakatafute sehemu nyingine.
Kaza...