Recent content by fanuel nary

  1. F

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 niliyoyaona Simba ikiikaanga Al Ahly Tripoli ya Libya

    Sure,wenzetu wako serious na uwekazaji kwenye mpira
  2. F

    JamiiForums Tanzania Fumigation & pest services Arusha

    0756 676099 KARIBU MKUU
  3. F

    JamiiForums Tanzania Muhimbili yaongeza Gharama za Kuona wagonjwa wa VIP

    hivi kweli eeeh
  4. F

    JamiiForums Tanzania Sarakasi za Kitila Mkumbo jimboni kwa Mwigulu Nchemba

    Upo katikati ya Mkoa was Lindi na Mtwara Sent using Jamii Forums mobile app
  5. F

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Tsh 1.4M (gross salary) nitapokea take-home kiasi gani?

    Jaman naomba ufahamu hivi Sheria zinasemaje NSSf wanakatwa kwenye Basic Salary au Gross Salary?Kuna mhindi simwelewi hapa
  6. F

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Mdude Nyagali apatikana akiwa hai baada ya kupotea kwa siku 4

    Duuh tunajenga taifa LA ajabu sanaaa,hayaa mambo utawala wote licha ya kwamba wameongoza serikal ya ccm huu Upuuzi ni wa kukemea kwa nguvu zetu wote bila kuangalia Itikadi zetu nan yuko Salama kama Mo Dewji kada mtiifu na mfanyabiashara mkubwa,mwandishi wa habar ww ni nan uwe Salama? Jukumu...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa mchinga (CUF) aeleza biashara ya ununuzi wa wabunge yeye alihaidiwa mil 200 na unaibu waziri

    mbona hawa wamasai wawili wa MONDULI NA simanjiro wanalia njaa hapa mjini? au wao waliahidiwa ngo'mbeeee nn/
  8. F

    JamiiForums Tanzania Profesa Assad anunua nyumba za NSSF huko Tanga

    Hizooo mbwembwe zote zimetoka Kongwa cyo??Tunamwamini,Tunamhitaji,Team CAG
  9. F

    JamiiForums Tanzania Fumigation and Rodent Control Arusha

    Tunatoa huduma ya kuvukiza na kunyunyiza sumu(Fumigation & Pest control) kwa bei ya kawaida sana kwenye maeneo ya maghala,maoffice,hotel,Majikon n,k kupambana na Wadudu watambao na warukao mende,nzi,kunguni,mbu ,panya,nyoka n,k tupo Kaloleni Arusha: Contact us:0756 676099
  10. F

    JamiiForums Tanzania Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

    hahahaha kwa nn mkuu
  11. F

    JamiiForums Tanzania KUMUENZI ELI COHEN

    WAAAALAH aisee mkuu,wasije wakatu LISSU hawaaa watu
  12. F

    JamiiForums Tanzania KUMUENZI ELI COHEN

    nakumbuka walinifuatiliaga kuingia kwenye hyo idara mwisho wa siku ikaambiwa Mimi SINA KIFUA
  13. F

    JamiiForums Tanzania KUMUENZI ELI COHEN

    hata mm nilikuwa nataka kuuliza swali kama hyo?
  14. F

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Waziri Kangi Lugola ni mtu kigeugeu na ana porojo, hivyo atakuwa mtu wa vichekesho tu Wizarani, sioni mabadiliko

    kwa mfumo wa nchi tulionao waziri NI SANAMU tu,RAIS ndo kila kitu ndo anaumua kila kitu kwenye wizara zote,ndo maana MWIGULU alikana kauli iliyotoka wizaran mwake kuhusu wARAKA WA KKkT KAMSIMAMISHA yule msemaji matokeo yke LUGOLA kamrudisha,rejea issue ya CLOUDS kuvamiwa na Bashite matokeo yke...
Back
Top Bottom