Mbona unajichanganya. Kama watu wanafanya uhalifu bila kutambulika na kukamatwa, maana yake ni kuwa hakuna hata mmoja anayewajua ndiyo maana hakamatwi.
TAFAKARI HILI LABDA UTAPATA MAJIBU YA HOJA YAKO.
Kiitifaki wabunge walitakiwa watambulishwe na kupewa nafasi ya kuongea na nani?
Kwa nini wabunge waongee wakati mheshimiwa RAIS amesimama?
Je wabunge wote wa mkoa wangekuwepo mheshimiwa angeruhusu waongee kama walivyoongea hao watatu...
Nafahamu vyama viwili vya walimu CWT na CHAKAMWATA. Je ni sawa CWT kuendelea kuchukua 2% kwa mwalimu ambaye amehamia CHAKAMWATA na kuidhinisha kwa fomu TUF 6 kuwa michango ielekezwe CHAKAMWATA.
Mliohama CWT naomba mnisaidie kama mnaendelea kukatwa 2% kama ada ya uwakala.
Tumia lugha nzuri. Wewe leo unaandika maneno haya kwa jinsi utakavyo na kusoma kila unalokutana nalo. Umesahau kuwa wao ndiwo waliokufundisha. Inawezekana una tatizo kubwa kichwani unaweza kumpiga hata mama yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.