Yah ni kwl iyo kitu inaitwa hela ya njia
Kila kampuni inayo iyo bajeti ili kupunguza ukali wa faini za barabarani.
Mfano Dar to mwanza ukitaka basi yako iwai kufika na isisumbuliwe na traffic andaa 100,000 kila siku
Hii hela ni ushuru wa stand kila mkoa na kuwahonga traffic Yani kweny 80 km/h...
Watu 12 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria la kampuni ya Frester lililokuwa likitoka Bukoba kwenda Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na Lori lenye shehena ya saruji.
Ajali hiyo imetokea saa sita usiku wa kuamkia leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.