Dah! Wanaume tuko tofauti!!
Kaongea Barbara, Senzo, Ahmed wote wamekwenda kwenye point hakuna mpasho, matusi wala majigambo ila Haji pekee ndo kaleta fyoko zake. Ivi umeshindwa kuona tofauti ya hao watatu na huyo unaemsifu?!
Mwanaume unasifia mipasho kutoka kwa mwanaume mwenzio kwenda kwa...
Pengine sijakuelwa. Me ninavojua hio jezi ya PSG anavaa km kawaida na huo mshahara anachukua kila wiki. Tatizo la Gueye kakataa jezi ambazo namba za mgongoni zina rangi za rainbow zenye kunasibishwa na ushoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.