Recent content by FALSETTO

  1. F

    Napatikana ukanda ambao Mbaazi, Ufuta na Korosho vinapatikana kwa wingi sana. Naombeni connection

    Kwa Mbaazi hakuna shida nikulipa ushuru wa halmashauri inaenda popote pale. Ufuta nikununua na kuuza magulioni faida ya sh 300 mpaka 1000 si haba ukiwa ma mzigo mkubwa na korosho ni sawa na ufuta kwa profit yake
  2. F

    Napatikana ukanda ambao Mbaazi, Ufuta na Korosho vinapatikana kwa wingi sana. Naombeni connection

    Nida ipo , house ipo, elimu form 6, uzoefu Ni zaidi ya miaka 5 nafanya kazi hii
  3. F

    Napatikana ukanda ambao Mbaazi, Ufuta na Korosho vinapatikana kwa wingi sana. Naombeni connection

    Uzoefu ninao wakutosha nimeishi kwa kzi hiyo kwa muda mrefu sana
  4. F

    Napatikana ukanda ambao Mbaazi, Ufuta na Korosho vinapatikana kwa wingi sana. Naombeni connection

    Napatikana ukanda ambao Mbaazi, Ufuta na Korosho vinapatikana kwa wingi sana. Kwa mwenye connection na Mtu au Kampuni yoyote inayojishughukisha na ununuzi wa mazao tajwa; Nipo tayari kufanya nao kazi kwa Nidhamu, Uaminifu na Ufanisi wa juu sana. ( Msimu wa mazao hayo ni kuanzia mwezi huu wa Mei...
  5. F

    Haya ya kweli kuhusu Rock City Mall?

    mmmh nyee wasukuma washaaaamba Ila kwakujisifu sasa!
  6. F

    Mauaji ya Polisi na raia Stakishari, Polisi fanyeni haya kuwapata wauaji

    Nilifarijika sana niliposikia wametandikwa napenda waendelee kufanyiwa hivi hata kila siku . Namachungu sana polisi walinitoa pesa hivi karibun.!
  7. F

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jaman wakuja Nachingwea mimi niende Makete au Njombe nimemic kabalidi ka kule.!
  8. F

    Muonekano wa Viatu aina ya Buti (Made in Magereza, Tanzania)

    Hao wafungwa wenye viwango wasiwavalishe manguo hayo, wanafanya kazi nzuri lakini bado wanawaweka majezi!
Back
Top Bottom