Kwa Mbaazi hakuna shida nikulipa ushuru wa halmashauri inaenda popote pale. Ufuta nikununua na kuuza magulioni faida ya sh 300 mpaka 1000 si haba ukiwa ma mzigo mkubwa na korosho ni sawa na ufuta kwa profit yake
Napatikana ukanda ambao Mbaazi, Ufuta na Korosho vinapatikana kwa wingi sana.
Kwa mwenye connection na Mtu au Kampuni yoyote inayojishughukisha na ununuzi wa mazao tajwa; Nipo tayari kufanya nao kazi kwa Nidhamu, Uaminifu na Ufanisi wa juu sana. ( Msimu wa mazao hayo ni kuanzia mwezi huu wa Mei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.