Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
- Thread starter
- #21
Ofisi tu makao makuu wameshindwa kujenga itakuwa tv na radio?
Aisee kumbe wewe ni mdogo sana kwenye ubongo,Sasa radio hata Dj wa maisha club anayo sembuse taasisi kubwa kama CDM
Mbona hii dhana ya kujitoa ufahamu haiwaishi vyie mavuvuzela?