Recent content by fakeusername

  1. fakeusername

    Nimechoka kubeba box, yeye hataki turudi Tanzania, nimuache?

    Dada wa USA kabla ya kurudi Tz na kuanzisha uhusiano mpya fikiria Mara mbili na jishibishe kwamba huyu jamaa anaweza akaa na wewe kwa shida na raha. Kwenda kwenu na mitego yako alionasua bado sio sababu ya kuonesha anaweza kukaa na wewe bila tabu. Fikiria tena kabla haujaamua lolote.
  2. fakeusername

    Wanaume ambao hawatumii pombe

    Hiyo ni nadharia ambayo imejengeka kwenye vichwa vya watu wanaokunywa kuwasingizia wasiokunywa pombe.
  3. fakeusername

    Kaninyima mzigo kisa nimemwambia nenda kaoge!

    Kwani si utafute mwingine. Hao viumbe mbona wamejaa tu
  4. fakeusername

    Picha: Mwamunyange akiteta na Rais Magufuli

    Kwann amevaa kombat lakini hana cheo ?yaani private. Huyu si amiri jeshi Mkuu? Naomba kueleweshwa tafadhari
  5. fakeusername

    Mama kaniletea mke kutoka kijijini bila ridhaa yangu, nifanyeje?

    Bwana kaka pole sana, hukujua kama nyoka unaecheza nae atakugonga mbele ya safari. Jiongeze na angalia plan b
  6. fakeusername

    Kwani kodi zimebadilishwa?

    Habari wadau? Mie ni kijana nnaeanza ujasiliamali na nna fremu ya duka dogo sana ( kigoli) maeneo ya kkoo. Sasa nimenda kufuatilia tin pale Lumumba leo na kabla ya makadirio naambiwa kodi mil 2 nauliza mbona kwa kuanzia ulikua ni laki 8, nikaulizwa uliambiwa na nani? Nikajibu niliuliza papa...
  7. fakeusername

    Hakuna urafiki wa mke na mwanaume nasitataka kuaminishwa na yeyote

    Urafiki wa kawaida kati ya jinsia hizo mbili ni mgumu sana. Naongea kwa uzoefu
Back
Top Bottom