Kwann amevaa kombat lakini hana cheo ?yaani private. Huyu si amiri jeshi Mkuu? Naomba kueleweshwa tafadhari
Kwani cheo cha Amiri Jeshi Mkuu ni kipi? Tufahamishane maana wengine hatujui vyeo vya kijeshiKwann amevaa kombat lakini hana cheo ?yaani private. Huyu si amiri jeshi Mkuu? Naomba kueleweshwa tafadhari
Kuna hiyo ya Kenyatta amevaa cheo cha commander- in -chief, lakini mimi nadhani ni kujikweza tu kwani vyeo vya kijeshi hujiviki bila kupitia mafunzo yanayostahili. Magufuli yuko sawa kabisa. Bado anatambulika ni commander-in-chief lbila hivyo vyeo. Kuna tofauti kati ya MILITARY APPOINTMENTS na MILITARY RANKS.Kwann amevaa kombat lakini hana cheo ?yaani private. Huyu si amiri jeshi Mkuu? Naomba kueleweshwa tafadhari
Kwann amevaa kombat lakini hana cheo ?yaani private. Huyu si amiri jeshi Mkuu? Naomba kueleweshwa tafadhari
Ni nani aliyekupotosha na hili mkuu!!?? Fanya utafiti kuelewa nini maana ya AMIRI JESHI MKUU.View attachment 318572
Hii picha imenifurahisha kitu kimoja,CDF kawa boss wa CINC kwa muda.Leo nyange kakalia kiti kwa muda
Out of the topic..Hivi Uhuru huwa anavuta mabangi?
Haa haa. Kuna simulizi zinasema ni mshirika lakini kusema ukweli sina uhakika.Out of the topic..Hivi Uhuru huwa anavuta mabangi?
kwakosa hili lakujisahau nani hajui wajibu wake ?View attachment 318572
Hii picha imenifurahisha kitu kimoja,CDF kawa boss wa CINC kwa muda.Leo nyange ka
kalia kiti kwa muda
Mkuu nadhani ujui utendaji WamejeshiWaafrika Bwana kwa kujikweza hatujambo! Mbona hatuoni wenyewe wenye majeshi makubwa wale cic wakivaa makombati na hawapungukiwi kitu. Heshima yao inabaki pale pale...Kenyatta mpaka kajipa nyota tano!
Vipi mirungi?Out of the topic..Hivi Uhuru huwa anavuta mabangi?
Wewe unayejua ebu nipe siku ambayo Obama au Waziri Mkuu wa uingereza ulimwona amevaa kombati. diyo Hivyo tu huko nyuma Nyerere, Mkapa, Mwinyi na hata Kikwete sikuwaona wameyavaa makombati wakati wa uongozi wao!Mkuu nadhani ujui utendaji Wamejeshi
wewe bure kabisa. hata kama huelewi maana ya commader in chief bado ungeona rais wa jamhuri ni boss wa mkuu wa majeshi.View attachment 318572
Hii picha imenifurahisha kitu kimoja,CDF kawa boss wa CINC kwa muda.Leo nyange kakalia kiti kwa muda
Nyerere kayavaa sana. Vita vya Kagera alipokuwa anatembelea alikuwa full kombatiWewe unayejua ebu nipe siku ambayo Obama au Waziri Mkuu wa uingereza ulimwona amevaa kombati. diyo Hivyo tu huko nyuma Nyerere, Mkapa, Mwinyi na hata Kikwete sikuwaona wameyavaa makombati wakati wa uongozi wao!