Alaa kumbe ndo ule msemo kua Baniani mbaya ila kiatu chake dawa, si ndo nyie mmewang'ang'ania leo mnawazarau, mara mdebwedo mara wamezubaa, mara sio watendaje wazuri, Acheni Zarau nao wana haki yao kikatiba na kisheria kuwakilisha kama sehemu ya Muungano, wenyewe wakidai haki zao mnawaona...