Mimi naona mkulima anapewa haki yake ambayo alikuwa akiikosa siku nyingi. Yaan mkulima amekuwa akilima lakini wanaofaidika ni wafanyabiashara wasiojua hata kushika jembe.
Wapinzani Tanzania wamekariri siasa za kushutumiana wanasahau kujenga hoja za maendeleo ama kwa kwafahamu wanachokifanya kwa kudhamiria kuichafua tu serikali iliyopo madarakani au kwa kutofahamu hasara watakayoipata wapiga kura wao kwa kutumia muda wao bila faida ya kuwaletea maendeleo
Tanzania ni nchi huru mataifa ya magharibi hayapaswi kuingilia maswala ya ndani ya nchi yetu. Kama ni ushoga wafanye wao kwenye nchi zao Watanzania sio vilaza
NAIROBI (Reuters) - Tanzania's plan to buy the country's entire 2018 cashew nut crop could lead to a global shortage, with processors in Vietnam and India likely to be hit first, traders said.
President John Magufuli has ordered a 94 percent increase to cashew nut prices to protect farmers from...
NAIROBI (Reuters) - Tanzania's plan to buy the country's entire 2018 cashew nut crop could lead to a global shortage, with processors in Vietnam and India likely to be hit first, traders said.
President John Magufuli has ordered a 94 percent increase to cashew nut prices to protect farmers from...
Ni shule ya Serikali au private?
Ni lazima mwanao asome hapo?
Kama hapafai beba mwanao hamishia shule nyingine mbona shule zipo nyingi tu siyo kila kitu mpaka serikali ifanye.
President Magufuli launching the SGR last year.
Railway trasport is the second most important mode of transport after road and critical for long distance freight along the main trasport corridors in the East Africa’s fastest gworing economy, Tanzania.
By considering so, the reformist...
Mambo mengine hayahitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu,watu wangapi wananaingia nchini bila shida yoyote wakamatwe wao tu,hao maafisa wa uhamiaji ni wendawazimu mpaka kumkamata mtu bila sababu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.