Wambie maana mi nashindwa kuwaelewa wadanganyika!,hv unawezaje kusema mama tiba ajiuzulu waziri ambaye wizara yake haina uhusiano wowote na sakata la escrow ukamuacha mtendaji mkuu wa serikali?.Eti leo hi mheshimiwa haongelewi kabsaaa!,kwa uelewa na usahaulifu huu wa wadanganyika tutazidi...
Wambie!, maana wanadhani jkt ni kama jw,usalama,police au magereza hawajui kua uktoka jkt unaanza kusotea hizo chances nyingine na kuna kupata na kukosa!,bora nikae mtaani niuzoee tu!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.