Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hao jamaa huwa wanaanza lini chuo na mafunzo yao yanachukua muda gani?,
Hawana muda maalum wa kuajiri inategemea na mahitaji yao, mafunzo ni kuanzia miezi 6 na kuendelea, mchakato wa kujiunga ni mrefu sana..
Usalama wa taifa haiusishi kushika bunduki tu, ni idara ambayo ni pana sana kuliko watu wengi wanavyofikiria, so hoja ya kuwa wanachukua JK tu ni dhaifu, kama nilivyoeleza hapo juu inategemea na mahitaji yao, wana recruit kutokana na their specific needs during that time..
ukisikia kazi za usalama wa taifa zinatangazwa sehemu ujue hiyo ni feki. hakuna system yoyote inayoweza kutafuta watu wa security system kwa kutangaza kwenye media
Usalama wa taifa haiusishi kushika bunduki tu, ni idara ambayo ni pana sana kuliko watu wengi wanavyofikiria, so hoja ya kuwa wanachukua JK tu ni dhaifu, kama nilivyoeleza hapo juu inategemea na mahitaji yao, wana recruit kutokana na their specific needs during that time..
sema tu hujapata hiyo chance...ndo mana anabwatuka ovyo
Unaweza kuwa recruited hata ukiwa na miaka 50,inategemea na wanahitaji nani na nafasi ipi,kwa mfano kuna wanaochukuliwa jkt,hawa majukumu yao wakat mwingne ni kulinda viongoz,kuna maprof wanakuwa recruited pia,kuna wengne wanakuwa recruited wakat wako tayar jeshini,si lazima sana kupenetrate watu weng kwenye taasis moja kuwa ma_agents wakat mwingne agent m1 aliyemo anaweza kusaidia kufanya recruitment,popote ulipo fanya kazi kwa bidii,bila woga na usiish kwa maigizo
habali ndugu zangu wa jf,kwa watu wanaokaa maeneo ya mbweni kuna chuo pale kinaitwa usalama ambacho
kuna mafunzo na masomo ya usalama yanafundishwa na kuna wanafunzi nawaonaga wanasoma ila hawanaga stori na watu.
kwa mtu anaefahamu atuambiee tuuu...wanangaliaaa sifa zipi....na una apply gani.....tusaidieni wenzenu...ambaoo tupo mtaani
hamna mapokezii eneo hiloo zaidi ya ulinzii tuu hapooo
tafuta kazh nyingine bhana mbona zinalipa!!!kama vle ualimu nk.hhiyo kazi ya usalama haina ishu yeyote!!!unageuzwa m2mwa,cmu yako itackilizwa na mabosi wako!!!TUPA KULE USALAMA WA TAIFA!!
Huwa wanachukua jeshini. Nakumbuka wakati tupo jeshini walikuja na walitangaza wazi anayetaka ajiandikishe na ataingia huko baada ya kumaliza jeshi. Tena walionya kuwa mafunzo yao ni magumu zaidi ya yale yw jkt. Tofautisha wana usalama na informer. Informer ni mtu anayewapa clue au kuwapatia habari hawa ndio wapo wengi sana na ni wa aina mbali mbali. Fuatilia kesi ya uhaini ya mwisho akina lugangira walikamatwa kwa taarifa za dreva taksi alikuwa informer wao
mwenzenu yuko hapa kikazi.
nyie jichanganyeni tu.