Recent content by Fagio2

  1. Fagio2

    Mkutano wa Lowassa Monduli; Mwenyekiti wa CCM (W) avua gamba na wanachama 12647 warudisha kadi

    Kadi 10,000 unaweza kuzishika kwa mkono Kama hivyo?
  2. Fagio2

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Kingunge mnafiki, Lowassa kaenguliwa na CCM Miezi minne iliyopita anakuja kujitoa leo! Kwa akili yake anadhani atasababisha hofu ndani ya CCM, wapi Bwana Mbona UVCCM walimtimua bila kujali makunyanzi. Anadai anataka mabadiliko, lakini endapo Lowassa angepitishwa na CCM asingejitoa. Hana...
  3. Fagio2

    UKAWA wakubali kuchemka

    Badala ya kutangaza sera wana subiri za CCM kisha wana kopi na kupesti, CCM wako sema hiki . Kesho yake Ukawa wana modify ahadi hiyo hiyo, hawana Ilani, mgombea anasema vikaratasi vya kuandikiwa.
  4. Fagio2

    Kama Lowassa alitabiriwa na TB Joshua kuwa Rais TZ, Iweje sasa atumie Pesa kukampenia Urais?

    T.B Joshua all itabidi lini kwa ushahidi gani kuwa Lowassa atakuwa Rais? Msimhusishe mtu wa Mungu katika siasa zenu chafu, na mkiendelea kufanya hivyo Mungu atawaadhibu.
  5. Fagio2

    Hii ni hatari

    Mchovu huyo, Panya akitaka Jina hujipitisha kwa watu.
  6. Fagio2

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Kala pesa ya Lowassa tangu mchakato wa CCM akimuahidi ange tumia ushawishi wake ili apitishwe lakini mtu wake akapigiwa chini. Kitendo cha kutangaza leo kujitoa CCM ni cha kukurupuka ili kufunika suala la Kifo cha Mchungaji Mtikila ili watu wazungumzie yeye, kwa vile tayari mitandao inaihusisha...
  7. Fagio2

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Mwaka 1972 haikukukuwa na Mkoa wa Simiyu
  8. Fagio2

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Kala pesa ya Lowassa tangu mchakato wa CCM akimuahidi ange tumia ushawishi wake ili apitishwe lakini mtu wake akapigiwa chini. Kitendo cha kutangaza leo kujitoa CCM ni cha kukurupuka ili kufunika suala la Kifo cha Mchungaji Mtikila ili watu wazungumzie yeye, kwa vile tayari mitandao inaihusisha...
  9. Fagio2

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Kala pesa ya Lowassa tangu mchakato wa CCM akimuahidi ange tumia ushawishi wake ili apitishwe lakini mtu wake akapigiwa chini. Kitendo cha kutangaza leo kujitoa CCM ni cha kukurupuka ili kufunika suala la Kifo cha Mchungaji Mtikila ili watu wazungumzie yeye, kwa vile tayari mitandao inaihusisha...
  10. Fagio2

    Wanachama zaidi ya 1900 CHADEMA wajiunga na CCM

    Wapi Chadema ilichukua hao?
  11. Fagio2

    Dk. Slaa na Zitto kupanda jukwaa moja

    Nchi hii ina rundo kwa mazuzu, hivi kweli mtu mwenye akili zake anaweza kuamini kuwa Sumaye ni mpenda mabadiliko? Huyu aliyeitwa Zero! Muulizeni ataleta mabadiliko yapi ili na sisi wengine tushawishike. Sumaye ana rekodi ya kuwa Waziri Mkuu aliyekaa madarakani kuliko yeyote, lakini Hana chochote...
  12. Fagio2

    Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100!

    Kifo cha Mtikila Mbona kinafanana na kile cha Mh. Chacha Wangwe? Usije ikawa wataalam walewale wamehusika!
Back
Top Bottom