Usicheze na viongozi wetu bwana!wanataka baada miaka kumi wazue mradi mwingine 10% inaingia kama unabisha angalia bunge la katiba wanataka serikali 2 waendelee na mchezo wao!
Binadamu wengine ni wa ajabu sana maana hata hisia za kiutu zimekwisha roho zao zinaharufu ya damu ubinafsi uko katikati ya vidole vyake na kalamu maandishi yake yamejaa chuki fitina na kejeli amevaa mavazi ya kiungwana yaliyoficha ushenzi roho yake yatamani kumwaga damu ili kutetea...
Maana ya gaidi kwa maana ya tafsiri kiingereza ni terrolist wapigania uhuru wengi wamepachikwa jina hili hasa waamerika kusini na latino yote wanaopinga maslai ya mabeberu
Watanzania tumekuwa hatupendi kusoma magazeti na vitabu tumesoma saana! Magazeti ya udaku.utakuta mtu heri angalie bongo movie habari kwenye tv,hii sio bahati mbaya imetengenezwa iwe hivyo tuamke watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.