Nimepata sehemu Pumba za mchele na mahindi zinazalishwa sana. Japo zinauzwa lkn bei ipo chini ukilinganisha na sehemu zingine. Kwa yeyote anaeyajua masoko ya kitu hii iwe hata nje ya nchi anitafute
Mm nimechanjwa na nipo fit tu. Hata mitambo ipo kawaida tu. Wala tangu nimechanjwa sikuona mabadil ko yoyote tofauti na maumivu kidogo ya sindano
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu naomba msaada mwaka 2019 dec nilipigwa Tsh 8,000,000/- na kampuni moja (sitaitaja) ya kudrill visima. Alikuja jamaa mmoja toka Tanga akapima eneo akaniambia maji yapo. Akaniletea hiyo kampuni tulikubaliana sh laki moja kwa kila mita moja.wao walivyopima walisema maji yanapatikana mita 120...
Inategemea umeuaje. Kuna kuua kw bahati mbaya na makusudi.
1. kuua kwa bahati mbaya mfano umesafiri unarudi nyumbani ghafla na mkukuta mkeo na mwanaume wamelala kwako. Kukawa na kitu chochote karibu ukakitumia Kama siraha utakuwa umeua bila kukusudia.
2. Kwa kuksudia. Unakisia kuwa mke wako ana...
Hilo Ni goli halali kabisa. Magoli ya aina hii yanaitwa best quick free goal. Hata huko kwa wenyewe yanatokea.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nataka kununua gari ila linaonekana zee sana. Mwenyewe ananiambia kuwa injini ipo poa. Na mm sijawahi miliki gari hata siku moja. Gari lenyewe ni mark two. Nitajuaje kama gari ni zima.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.