Habari wakuu.
Mh. Makonda ujapo Arusha kuanza kazi rasmi tunaomba uanze na tatu mzuka. Hawa vijana wameharibu sifa ya mkoa wa Arusha. Mitaa ya uwanja wa ndege mpaka kisongo hakufai wanakupiga tukio mpaka mchana kweupe. Tafadhali sana nusuru sifa njema ya mkoa huu.
Nawasilisha.
Asante
wanawake hawana level hasa linapokuja suala la aliyezaa naye. hawa watu hawaachanagi hata kama mwanaume alimtelekeza vip. akitaka kula ni kama kumsukuma mlevi.
kikumbwa kuna mwamba kasema hapo "kamwe hutakiwi kuoa mke wa mtu"
Jumuiya ya afrika mashariki ni tunda la kila nchi mwanachama, hivyo ni jukumu la kila nchi mwanachama kuwa na mipango na mikakati mathubuti katika kuitetea nafasi yao katika kuijenga nchi yao.
katika afrika mashariki tumeona nchi za wenzetu kama Kenya na Rwanda kuchagua wabunge wa EAC kimkakati...
Very true. Ila naona kesho la polisi limebeba hili kisiasa zaidi. Wamesahau wao jukumu lao ni kuwahakikishia usalama watanzania, na suala la polisi halina chama.
Jacob ana hekima sana. Ni upinzani mwenyewe utaifa ndani yake. Anaonekana kuiweka kinondoni mbele zaidi na kuweka pembeni utofauti wao wa kisiasa pamoja na matendo mabaya ya serikali kuu kWa wapinzani. I salute you brother
Cha muhimu ni wote kufurahia tendo. Ukimpenda akakupenda suala la kuridhisha mtajifunza humor humo. Kama hajaridhika anaweza akakuambia namna bora ya kumridhisha. Tatizo tunaenda kwenye tendo ili tuonekane mashujaaa.
Hongereni UK kwa maamuzi yenu ya kidemokrasia. Hata kama yana madhara au hayana , cha muhimu mmeamua wenyewe kwenda mbinguni au kuzimu.
Hongera sana commeroon kwa kuheshimu maamuzi ya wana UK na kuwa kiongozi mwenyewe kusimamia kile unachokiamini. Umekiri hutoweza kuendesha meli hiyo.
Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.