Unapoambiwa Tz inanuka rushwa,na rushwa ndo inadidimiza maendeleo huwa unadhani ni theory ama?
Tena kikiisha kpnd cha kwanza w2 huwa wanaingia hdi kwa jero,tena lundo la w2
kk yn Tz kinacho tusumbua ni umasikini wa fikra na mali,unakuta m2 kasoma na anauelewa wa mambo mzr tu lakini akiri zake kama matope.2na laana mbaya sana mpaka cku yesu akrdi ndo 2taamuk a
Kafanya nn bwana,ktk kipindi chake vyanzo vya mapato ni vng sana tena vkbwa vkbwa kuliko maraisi wote.tatizo inachukuliwa sh 80 na wajanja sh 20 inayo bakia ndo ikijena barabara 2nasifia mpaka basi.hii nchi ina laana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.