Zipo nyingi tuu, ila changamoto ni kwamba uende kwa fundi akuwekee, maana ni lazima simu ifunguliwe.
Na inapendeza zaidi kama utampa fundi mwenyewe akutafutie iyo betri, maana zinajaribiwa kabla ya kununuliwa ili usije ukauziwa mbuzi kwenye gunia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.