kuacha hata kukosa goli mwishoni ahoua anacheza mpira wa kitoto sana. tusipofuzu binafsi lawama zangu ni 50% ahoua 30% kocha 20% rest of the team players. huyu jamaa ukimfuatilia mambo yake kwa makini uwanjani mwanzo mwisho ana utoto utoto sana ( Yani mambo ambayo amateur leagues u17 huko...
jamaa anakera sana. ana akili ndogo sana ya kimpira. na baleke anajiona staa yani uwanjani timu inalengo la kupata goli .yeye na inonga wanawazia kushangiliwa na mashabiki. inakera sana.
waungwana kuna song la zamani kurasini sda wanaimba " siku zinakuja mbele siku za kuhuzunisha siku ambazo hatujapata kuona mfano wake " ole ole ole kama kuna yeyote atakuwa nalo nitabarikiwa sana.
Poleni ndg na jamaa wa familia hii Mwenyezi Mungu awape wepesi katika kipindi hiki.binafsi sijui sorce ya taarifa ya hizi za marks ie. Ave hii ya 98 .but kama ni kweli kabsa alipata hivo nijuavyo adv phys eti mtu alipga 99 baada ya kutafuta average ya paper zile tatu bila kujali sana nature ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.