hapa mtaani kwetu kuna grocery wanapiga sana kelele wakisha lewa nimepita nikaita kwa sauti Makondaaaaaaaaaa.. yaani hapa sahiv wengine tayar ni vilema
sipendagi ujinga wa kusikia matusi ya walevi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*Zuzu* alipewa gari aendeshe matokeo yake akaua watu 50
*Traffic*:Imekuaje ukaua watu wote hawa?
*Zuzu*:Nilikuwa spidi ghafla nikaona watu weng kushoto na mmoja kulia wewe traffic ungefanyeje?
*Traffic*:Ningemgonga yule mmoja ilikuokoa maisha ya watu wengi
*Zuzu*:hicho ndo nlichokusudia lkn...
August 24 2016 Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amekutana na waandishi wa habari na kutumia nafasi hiyo kuwaomba wazee ambao walikuwa viongozi wakubwa kuanzia kipindi cha mwalimu mpaka awamu ya nne, bara na visiwani kuomba kukutana na Rais Magufuli wamuombe aitishe kikao cha...
MASWALI YA KUJIULIZA KABLA HAUJAANZISHA UHUSIANO NA MTU..!
[emoji843]Yafuatayo ni Maswali ya muhimu kabla haujaanzisha uhusiano na mtu [emoji116]
[emoji117] UNAMFAHAMU VIZURI [emoji780]
NI jambo la Msingi sana kuhakikisha huyo unayetaka kuwa nae unamfahamu vizur. Watu wengi leo huanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.