Recent content by Ezekiel Mollel

  1. E

    Ccm wakamatwa wakibandika majina feki ya wapiga kura-kiwalani/kigiragira

    Huu ujinga haikubaliki tena watanzani wamewashtukia Chadema nyie
  2. E

    Waziri Mkuu Pinda azidi kulikoroga huku CCM ikiwa Maji ya Shingo UKONGA

    Huo ndio ujinga wa Chadema kuandika hata vitu ambavyo havipo
  3. E

    Diwani wa CCM akamatwa kwa Ujambazi Dar

    Inaonekana hii habari noyakutengenezwa
  4. E

    UKAWA ona CCM na waendesha bodaboda

    Lowassa ndio chaguo la watanzania 2015
  5. E

    Mwenyekiti wa act Mkoa wa Kigoma azomewa .

    Huo ni uzushi wa cdm kuzomewa wazomewe wao waseme act
  6. E

    Kanusha kwamba CCM si wezi

    Huo ni upotoshaji kwakuwa haujui nini mamaana ya ccm. CCM ni mimi na mwingine sasa huu wizi unanihusuje mimi wa chini? Naamini CCM chama imara
  7. E

    Freeman Mbowe amwangukia Zitto, Kamati yaundwa rasmi kuwakutanisha

    Chadema wamejimaliza wenyewe hawana Sera tena
  8. E

    Ndio maana CCM huwa wanavuruga mikutano ya CDM

    Hapa adanganyi mtu Tanzania hakuna kuandamana. Na ukweli upo wazi kwenye chaguzi zote CCM wanashinda sasa hili la amani kupotea litatoka wapi? Mimi nasema mkiandamana mtapigwa tu
Back
Top Bottom