Baada ya kugundua hayo vijana waliovalia tshirt za cuf waliamua kung'oa hayo majina.baada ya hapo ccm wakaamua kuwakamata hao vijana na kuwapeleka kituo cha police kiwalani na huku wakijigamba kwamba lazima walale ndani mpaka UCHAGUZI. HATA HIVYO INASEMEKANA WAPIGA KURA FEKI WAMELETWA KUTOKA ILALA KIASI CHA KUSABABISHA GUEST ZOTE KIWALANI KUJAA. TUNAOMBA KAMA MKURUGENZI UTAPATA TAARIFA HIZI TAFADHALI ZIFANYIE KAZI, BILA HIVYO INAWEZAKUPELEKEA UMWAGAJI WA DAMU HAPO KESHO. SOURCE NI MIMI MWENYEWE NILIOPO ENEO LA TUKIO