Hivi mbona karibu kwenye kila scandal Anduru Chenga anahusika?
Huyo ni master wa maadili yote ndo anayejua michango yote ya na jinsi ya kuandaa nyaraka feki
CONSULTATION fees 1 usd ~1.6b
Hivi mbona karibu kwenye kila scandal Anduru Chenga anahusika?
Huo ni upotoshaji kwakuwa haujui nini mamaana ya ccm. CCM ni mimi na mwingine sasa huu wizi unanihusuje mimi wa chini? Naamini CCM chama imara
kanunusha kuwa ccm imejenga barabara mahospitali madaraja na nk
Acheni kujidanganya.
wakanushaji wapo wengi, subiri waitwe Simiyu Yetu MSALANI lusungo mjepo Ritz MwanaDiwani Agogwe Mamndenyi chama mwa 4 T 2015 CCM laki si pesa Juliana Shonza Mtela Mwampamba Paul Makonda Nape Nnauye, et al.