Recent content by ezekeo

  1. ezekeo

    Mshangao: Imekuwaje Rais Ruto awe Rais wa kwanza kutoka Afrika kufanya ziara rasmi ya kiserikali nchini Marekani?

    Sawa mkuu lakini taarifa kuwa bara zima la afrika hakukuwahi kuwa na ziara rasmi ya rais kutoka bara la afrika kwenda USA ndani ya kipindi Cha miaka 15 nacho kinafikirisha sana.
  2. ezekeo

    Mshangao: Imekuwaje Rais Ruto awe Rais wa kwanza kutoka Afrika kufanya ziara rasmi ya kiserikali nchini Marekani?

    Kwahiyo unamaanisha hata ule utitiri wa Marais wanaotutembelea inawezekana tukaona ziara rasmi zikawa chache hata iwe zaidi ya miaka kumi huko nyuma kwa Marais kutoka bara jingine? Yaani siku kukitembelewa na rais wa uturuki Recep Tayyip Edogan tuseme ni rais wa kwanza kutoka bara ulaya kufanya...
  3. ezekeo

    Mshangao: Imekuwaje Rais Ruto awe Rais wa kwanza kutoka Afrika kufanya ziara rasmi ya kiserikali nchini Marekani?

    Nimejikuta katika wakati mgumu wa kuiamini taarifa inayosema eti rais Ruto wa Kenya ndie rais wa kwanza kufanya ziara rasmi ya kiserikali nchini marekani kwa kipindi Cha miaka 15 iliyopita. Swali ni je Hawa Marais wengine kutoka afrika ambao kwa mamia walioitembelea marekani kwenye hicho...
  4. ezekeo

    Zile Helikopta mbili za Ulinzi msafara wa Rais wa Iran aliyefariki kwa ajali zilikwepaje hali mbaya ya hewa?

    Kwakweli hata Mimi binafsi nimeshindwa elelwa kwanini rais asafiri na helicopter kwenye Hali mbaya ya hewa vile, Bado tunaambiwa kuwa helicopter yenyewe iko na miaka zaidi ya 30 hata kampuni husika ya ndege ilisha acha kuzitengeneza ndege za aina hiyo kwa miaka mingi. Hapo sijui vipuri...
  5. ezekeo

    Nilisema hapa hapa kuwa Kitendo cha Iran kwa Makusudi Kuishambulia Israel kina Mshindo Mkubwa baadae sikueleweka, ila sasa tutaelewana tu

    Mbona PM Natanyahu amesema hahusiki na hiyo ajari ya helicopter na kwamba yeye hawezi lipiza kisasi kwa kajitukio kadogo ka namna hiyo. SIJAMWELEWA.
  6. ezekeo

    Msaada kufunguliwa kwa namba yangu kutumia WhatsApp business

    Wakuu Namba yangu imefungiwa kutumia WhatsApp business. Kuna taarifa nyingi za muhimu sana nazihitaji kutoka kule WhatsApp Business. Naomba msaada kwa anayejua namna ya kufanya ili namba yangu iweze kuruhusiwa kutumia tena WhatsApp Business. Ahsanteni
  7. ezekeo

    Mshtuko: Kwanini Waafrika wameuvaa mgogoro wa Israel na Palestina kuliko matatizo ya nchi zao?

    Clip zipo shida ni usambazwaji wa taarifa na coverage ya ule mgogoro wa sudani kwenye media Ni mdogo Sana kulinganisha na Hali halisi ilivyo.. Binafsi naweza kusema tukihesabu idadi ya waathirika wa Vita huko SUDAN na tukalinganisha na Palestine utaona kabisa Sudan Hali ni mbaya zaidi lakini...
  8. ezekeo

    Mshtuko: Kwanini Waafrika wameuvaa mgogoro wa Israel na Palestina kuliko matatizo ya nchi zao?

    Nimeshtushwa na idadi kubwa ya watu wanaouwawa huko Sudan huku zaidi ya watu milion sita wakiyakimbia makazi yao na kuishi kwenye kambi za wakimbizi, huku hali ya chakula ikiwa mbaya baadhi ya watumishi wa UN wakioko huko wamekiri kuwa chakula hakitoshelezi mahitaji. Kushtutuka kwangu...
  9. ezekeo

    Mwenye ufahamu na Shinyanga Girls

    Ipo pembezoni kidogo uelekeo wa old shinyanga....eneo linaitwa butengwa. Ukitoka stendi kuu ya shinyanga (manyoni) chukua usafiri Kama ni bajaji au pikipiki za kukodi waambie wakupeleke butengwa kupitia barabara ya old shinyanga halafu halafu wakunje kulia barabara inayoelekea machinjio ya...
  10. ezekeo

    Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

    Hoja yako iko na mapungufu kadhaa likiwemo suala la kuzingatia factor Kama Elimu, imethibitika kuwa wasichana wanaotumia muda mwingi kwenye elimu huwa wakichelewa sana kuolewa na kuanzisha familia. Kwahiyo msichana anaweza jikuta anachelewa kuolewa akiwa na tabia njema kabisa na bila mapungufu...
  11. ezekeo

    Je, nyumba ya 10m x 15m, inaweza kula bati na mbao ngapi?

    Kwa mujibu wa formula inayotumika kupata estimation ya idadi ya bati, kadri Kona/mapaa yanavyokuwa machache ndivyo usahihi wa idadi itakayotajwa unavyo ongezeka. Hivyo Kama mapaa yatakuwa si mengi idadi itabakia kuwa hivyo kwa ule muinuko wa mapaa ya nyumba nyingi za kisiasa. Lakini endapo...
  12. ezekeo

    Je, nyumba ya 10m x 15m, inaweza kula bati na mbao ngapi?

    Makadirio zitahitajika bati 89 pcs
Back
Top Bottom