Habar wakuu wa JF
Mim ni msichana wa miaka 24 naishi DSM Nina fani ya ukutubi ( librarian) ngazi ya cheti.
1. Ninauzoefu na fani niliyosomea kwa miaka miwili.
2. Ninauzoefu na kazi za stationary and secretarial services pia ninauzoefu Wa kufanya utafiti kwa mwaka mmoja.
3. Ninauzoefu na kazi...
Tatizo unajiokotea tuu mkuu kwan lazima uchukue mwanamke club au bar....alafu mbna wapo wanawake wengi tuu wanaojiheshimu na kujitambua?? Sasa ww tatizo unakurupuka na unaambulia makapi alafu km umejiwekeaaa kumpata mwanamke na kutimiza haja zako tuu then unatemana nae teyar hiyo ni kma laana...
Kiukwel kwanza angalia umri wa watoto wake, pili baba yao yupo au laa....km watoto wake ni wakubwa na wanauwezo wakujitegemea go on na process zenu ila km bado niwadogo watakupa headache ya ajabu .....tatu huyo mama kazi anayofanya income yake na pia yako je itaweza kuendesha familia yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.