Serikali ya wananchi ni ile iliyochaguliwa kwa HAKI na wananchi na hiyo ndiyo itakayokuwa inayafahamu matakwa ya wananchi. Vinginevyo kama ilivyo ya MALAWI ni ubatili.
Yawezekana shida ipo kwenye tafsiri tu. Nafikiri tafsiri ya Mange haikuwa kusudio la Lissu, la kuuliza hadharani kama salaam zake zilifika na akimalizia na kicheko katika swali lake.
Lakini yawezekana katika swali lile kwa makamu visiwani ulikuwa ni ujumbe kwa mtu fulani juu ya anacho kijua...
Hujui halafu unakandia! Taab gani hii! Yeye aliyeko huko, anayeyaishi hayo kayaleta hapa. We unasiriba, kwamba si mkweli??
Haya leta hicho unachokidhania.
Hivi unafahamu kwamba siasa ndiyo inaamua maisha yako ya leo na kesho? Unaposema vijana waachane na siasa maana yake una washauri waachane na mustakabali mzima wa maisha yao. Wawakabidhi kikundi fulani tu.
Una uhakika kama kichwa chako kipo sawasawa? Hujawahi kupata mtikisiko kichwani...
1. Unaweza kuthibitisha kwamba kweli ni shoga?
2. Una ushahidi wa madai ya yeye kuliwa kinyesi hapo kwa baba?
3. Mkataba unampa mwenye nyumba haki ya kufatilka faragha ya mpangaji wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.