Nakumbuka nilikuwa nafahamu kila kitu,mpaka yule jamaa, mwajiriwa manisipaa kinondoni.
Ila sikufanya jambo lolote kwa yoyote ila nlihakikisha wanajua kwamba najua kisha nkakaa kimya.
Nafikiri, tukifumania anayekuwa na makosa ni mwenzj wangu/ wako. Binafsi nafikiri ni sahihi zaidi kumalizana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.