Recent content by Exogenous Factor

  1. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Nashangaa mpaka leo Polisi wameshindwa kukamata mtu hata 1 wa mauaji ya Oktoba 29, 2025

    Ni vile tu tunapaswa kuwaheshimu wazee.
  2. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Nakubaliana na wewe mkuu. Huo ni mtizamo wangu tu!
  3. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Nakumbuka nilikuwa nafahamu kila kitu,mpaka yule jamaa, mwajiriwa manisipaa kinondoni. Ila sikufanya jambo lolote kwa yoyote ila nlihakikisha wanajua kwamba najua kisha nkakaa kimya. Nafikiri, tukifumania anayekuwa na makosa ni mwenzj wangu/ wako. Binafsi nafikiri ni sahihi zaidi kumalizana...
  4. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Masikio yangu yanaumia sana nikimsikia mtu anasema, "binafsi yangu" 😸😹

    Okay sawa 🤣🤣🤣. Hawa ndo uwa wananichosha zaidi!
  5. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Kati ya sehemu nmewahi kutembelea nikafurahia ni Busokelo. Tulikuwa na kazi huko katika ngazi ya kata. Kata zilikuwa 12 nadhani.
  6. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania CCM kidigitali zaidi iko mbele ya wengine

    😂😂😂😂😂
  7. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Busokelo moja
  8. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania John Heche: Ukitunyima amani tunakunyima amani

    Nyie mtaishi milele? Ovyo!
  9. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Wewe ni mpotoshaji. Oktoba 29 hakuna mtu alitoka ili akapambane na vyombo vya dola kama ulivyosema.
  10. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Ford Ranger for sale (Double Cabine)

    Ford Range Double Cabine Mwaka-2014 Registration No. T.......CUQ Manual Mafuta- Diesel Cc- 2200 Mileage- 141,000Km. Bei: 48M Location: Sinza-DSM Good Condition. Mawasiliano: 0654323679
  11. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    65 ni pesa ngapi?
  12. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    TCL hazipatikani?
  13. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Sitaki kuajiriwa nakomaa na ubeach boy

    Na siku jicho la tatu wakilifungua uje utoe ushuhuda pia. Watanganyika me/ke mmejitolea kwenda kuuza utu wenu huko😁😁
  14. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti UVCCM Dodoma: Kundi lililotaka kuupora Urais wa Samia baada ya Kifo cha Rais Magufuli wamefahamika, hatutanyamaza

    Huyu Mwanyemba,kijana wa 90's CCM kaijulia wapi? Uchawa tu!
Back
Top Bottom