Recent content by Exogenous Factor

  1. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Wewe ni mpotoshaji. Oktoba 29 hakuna mtu alitoka ili akapambane na vyombo vya dola kama ulivyosema.
  2. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Ford Ranger for sale (Double Cabine)

    Ford Range Double Cabine Mwaka-2014 Registration No. T.......CUQ Manual Mafuta- Diesel Cc- 2200 Mileage- 141,000Km. Bei: 48M Location: Sinza-DSM Good Condition. Mawasiliano: 0654323679
  3. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    65 ni pesa ngapi?
  4. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    TCL hazipatikani?
  5. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Sitaki kuajiriwa nakomaa na ubeach boy

    Na siku jicho la tatu wakilifungua uje utoe ushuhuda pia. Watanganyika me/ke mmejitolea kwenda kuuza utu wenu huko😁😁
  6. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti UVCCM Dodoma: Kundi lililotaka kuupora Urais wa Samia baada ya Kifo cha Rais Magufuli wamefahamika, hatutanyamaza

    Huyu Mwanyemba,kijana wa 90's CCM kaijulia wapi? Uchawa tu!
  7. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwani si nilisikia tunamtaka kipa wa A. Villa? Imeishia wapi? Au zilikuwa tetesi tu?
  8. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside karibu kwa mzee wa Upako, Kibangu Ruge-SQM 2700

    Kama bado una nia karibua PM tuyajenge,naweza kukutafutia kingine
  9. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside karibu kwa mzee wa Upako, Kibangu Ruge-SQM 2700

    Bilion 1 na milion 100. Ila nkushukuru kwa kuwa na nia ila kimeshatoka. Karibu tena.
  10. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside karibu kwa mzee wa Upako, Kibangu Ruge-SQM 2700

    Wapi hapo? Unadhani unakihitaji nicheki. Mawasiliano yangu yapo. Details zote zipo, utajihakikishia kila unapoona wewe unaweza kupata taarifa sahihi. Vinginevyo,karibu sana.
  11. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kati ya hivi?

    Hakuna aliye bora hapo. Ni vile tuna shida tu!
  12. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

    Ni miiiiiiiiiiimiiiiiii rufufu Mkandala rukoma abambeija😂😂😂😂. Nlikuwa napendaga sana hapo
  13. Exogenous Factor

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Talent ID ya Sosha ni exceptional.
Back
Top Bottom