Mungu ni mwema na huwa hawai wala hachelewi katika kujibu maombi yako,kazana kumuomba akuonyeshe kusudi lake kwanza kabla ya kutumia akili zako mwenyewe. Ya kesho yatakufurahisha na utasahau shida zote.Ili jambo kubwa na lamafanikio lifanyike ni lazima upitie magumu kukuimarisha
.Soma Zab.121
Hakika kama kila mtunzi wa kitabu lazima awe na mafanikio katika alichoandika basi vitabu visingeuzwa kabisa.Lakini wengi ya watunzi hawana mafanikio kama msomaji wa kitabu husika hii ni kutokana na fursa anazokuwa nazo msomaji, la sivyo watu wasingekubali kufungishwa ndoa na mapadre ambao...
Umeshajua serikali ipi!?, kuna serikali ya kijiji,kata,wilaya unajua anamaanisha ipi pia kuna serikali ya Congo,Gabon na nyingine nyingi.Yupo sahihi hadi ujue anamaanisha ipi ndio unapata haki ya kumuhukumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.