tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,114
Wale wapenda mabadiliko ya kweli tunapaswa kubadili mbinu za kupata yale mabadiliko tunayoyataka.
Tukiongelea uchaguzi wa kila baada ya miaka mitano kama ni ucahguzi wa wananchi tunajidanganya na tunawadanya wananchi ambao hawana uelewa mpana wa maswala ya nchi yetu.
Taasisi nyeti ya usalama wa taifa haimini katika mfumo wa vyama vingi wala katika mfumo wa kuchaguana katika sanduku la kura. Hivyo basi huu utaratibu wa kupiga kura ni kuhalalisha tuu kile walichokiamua wao huko vyumbani.
Nitatolea mfano kwa uchaguzi uliopita uliomuweka madarakani mheshimiwa magufuli. Taasisi nyeti ya usalama wa taifa ilianza kumlinda tangu pale alipochaguliwa na kikao cha ccm pale dodoma. Na bila aibu wala wasi wasi mlinzi wake waliomuweka tangu anachaguliwa magufuli dodoma ndio mlinzi wake mpaka leo hii. Wewe unaona mimi naona na wao wanaona na hakuna cha kuwafanya.
Kama wao wanaopaswa kusimamia haki wanamtambua mtu kuwa rais pale tuu anapochaguliwa na kamati za ccm wewe ni nani hata uje upindue maamuzi yao katika sanduku la kura??
Nasema hivi huku kufanya uchaguzi ni kupoteza muda na mali za nchi kwa mfumo tulionao.
Tupiganie kubadili mfumo wetu ndipo tuingie kwenye kushindana. Huwezi kushindana na watu unaotegemea wasimamie ushindani.
Huyu hapa chini mlinzi wa rais toka kwenye kampeni na kwa wakati ule alijifanya greengurd toka ccm na sasa ni mlinzi wa rais toka usalama wa nchi .
Tutafika tuu hata kama kwa shida ila tubadili mbinu za kushindana na hawa watu
Tukiongelea uchaguzi wa kila baada ya miaka mitano kama ni ucahguzi wa wananchi tunajidanganya na tunawadanya wananchi ambao hawana uelewa mpana wa maswala ya nchi yetu.
Taasisi nyeti ya usalama wa taifa haimini katika mfumo wa vyama vingi wala katika mfumo wa kuchaguana katika sanduku la kura. Hivyo basi huu utaratibu wa kupiga kura ni kuhalalisha tuu kile walichokiamua wao huko vyumbani.
Nitatolea mfano kwa uchaguzi uliopita uliomuweka madarakani mheshimiwa magufuli. Taasisi nyeti ya usalama wa taifa ilianza kumlinda tangu pale alipochaguliwa na kikao cha ccm pale dodoma. Na bila aibu wala wasi wasi mlinzi wake waliomuweka tangu anachaguliwa magufuli dodoma ndio mlinzi wake mpaka leo hii. Wewe unaona mimi naona na wao wanaona na hakuna cha kuwafanya.
Kama wao wanaopaswa kusimamia haki wanamtambua mtu kuwa rais pale tuu anapochaguliwa na kamati za ccm wewe ni nani hata uje upindue maamuzi yao katika sanduku la kura??
Nasema hivi huku kufanya uchaguzi ni kupoteza muda na mali za nchi kwa mfumo tulionao.
Tupiganie kubadili mfumo wetu ndipo tuingie kwenye kushindana. Huwezi kushindana na watu unaotegemea wasimamie ushindani.
Huyu hapa chini mlinzi wa rais toka kwenye kampeni na kwa wakati ule alijifanya greengurd toka ccm na sasa ni mlinzi wa rais toka usalama wa nchi .
Tutafika tuu hata kama kwa shida ila tubadili mbinu za kushindana na hawa watu