China baadhi ya maeneo ambapo shuguli zilisimama shuguli zimeanza tena hapo jana mashule na uzalishaji umeanza death rate kwa sasa ni chini ya 5% .
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua wewe ndio una tatizo mbona mimi sijawahi kua na kazi lakini nina marafiki kibao watumishi na hawajawahi kunikimbia na nikiishiwa nawapiga vizinga kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashauri vifugwe kwa muda gani? Je itakua ni suluhisho la tatizo
Note: janga linaweza kwenda kwa kipind kirefu hata miaka miwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Napendekeza waziri wa afya , waziri wa mawasiliano na uchukuzi pia waziri mkuu wa wajibike kwa uzembe .wameshindwa kuchukua preventive measures mpaka tunapata wagonjwa humu nchini
Yani walishindwa hata kuiga kutoka kwa tramp alipopiga marufuku ndege zote kutoka china na ulaya haya sasa ngoja...
Hujui hata unaandika nini, kua tu mpole Muungana bado upo sana kuna mikataba mingi ya siri usiyoijua kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwahivyo hizo wishes zako ni kama machozi ya samaki tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaongelea context hiyo ya bidhaa kuadimika bas ni bora wapotee kabisa tuanze kupata vitu vyenye quality kutoka Ulaya na Marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.